Wakolosai 3:17 - Compare All Versions
Wakolosai 3:17 BHN (Biblia Habari Njema)
Na, kila mfanyacho kwa neno au tendo, fanyeni vyote kwa jina la Bwana Yesu na kumshukuru Mungu Baba kwa njia yake.
Shirikisha
Wakolosai 3 BHNWakolosai 3:17 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.
Shirikisha
Wakolosai 3 SRUVWakolosai 3:17 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye.
Shirikisha
Wakolosai 3 SUVWakolosai 3:17 NEN (Neno)
Lolote mfanyalo, ikiwa ni kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.
Shirikisha
Wakolosai 3 NEN