Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 27:31-32 - Compare All Versions

Matendo 27:31-32 BHN (Biblia Habari Njema)

Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa jeshi na askari wake, “Kama wanamaji hawa hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka.” Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.

Shirikisha
Matendo 27 BHN

Matendo 27:31-32 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Paulo akawaambia ofisa na askari, Hawa wasipokaa ndani ya merikebu hamtaweza kuokoka. Basi askari wakazikata kamba za mashua, wakaiacha ianguke.

Shirikisha
Matendo 27 SRUV

Matendo 27:31-32 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Paulo akawaambia akida na askari, Hawa wasipokaa ndani ya merikebu hamtaweza kuokoka. Basi askari wakazikata kamba za mashua, wakaiacha ianguke.

Shirikisha
Matendo 27 SUV

Matendo 27:31-32 NEN (Neno)

Ndipo Paulo akamwambia yule jemadari na askari, “Hawa watu wasipobaki katika meli, hamtaweza kuokoka.” Hivyo basi wale askari wakakata kamba zilizoshikilia ile mashua ya kuokolea watu kwenye meli, wakaiacha ianguke humo baharini.

Shirikisha
Matendo 27 NEN