Matendo 19:17-18
Matendo 19:17-18 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Habari hii ikajulikana na Wayahudi wote na Wagiriki waliokaa Efeso, hofu ikawaingia wote, na jina la Bwana Yesu likatukuzwa. Na wengi wa wale walioamini wakaja wakaungama, wakidhihirisha matendo yao.
Shirikisha
Soma Matendo 19Matendo 19:17-18 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Habari hii ikajulikana kwa Wayahudi wote na Wayunani waliokaa Efeso, hofu ikawajaa wote, nalo jina la Bwana Yesu likaheshimiwa sana. Wengi wa wale waliokuwa wameamini wakati huu wakaja na kutubu waziwazi kuhusu matendo yao maovu.
Shirikisha
Soma Matendo 19