Matendo 10:30 - Compare All Versions
Matendo 10:30 BHN (Biblia Habari Njema)
Kornelio akasema, “Siku tatu zilizopita saa kama hii, saa tisa alasiri, nilikuwa nikisali chumbani mwangu. Ghafla, mtu aliyekuwa amevaa mavazi yenye kungaa alisimama mbele yangu
Shirikisha
Matendo 10 BHNMatendo 10:30 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kornelio akasema, Siku tatu zilizopita, katika saa ii hii, yaani saa tisa, nilikuwa nikisali nyumbani mwangu; nikamwona mtu amesimama mbele yangu, akiwa amevaa nguo zinazong'aa
Shirikisha
Matendo 10 SRUVMatendo 10:30 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kornelio akasema, Siku tatu zilizopita, katika saa ii hii, yaani saa tisa, nilikuwa nikisali nyumbani mwangu; nikamwona mtu amesimama mbele yangu, mwenye nguo zing’arazo
Shirikisha
Matendo 10 SUVMatendo 10:30 NEN (Neno)
Kornelio akajibu, “Siku nne zilizopita, nilikuwa nyumbani nikisali saa kama hii, saa tisa alasiri. Ghafula mtu aliyevaa nguo zilizongʼaa akasimama mbele yangu
Shirikisha
Matendo 10 NEN