2 Timotheo 2:2-3
2 Timotheo 2:2-3 Biblia Habari Njema (BHN)
Chukua yale mafundisho uliyonisikia nikitangaza mbele ya mashahidi wengi, uyakabidhi kwa watu wanaoaminika, ambao wataweza kuwafundisha wengine pia. Shiriki katika mateso kama askari mwaminifu wa Kristo Yesu.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 22 Timotheo 2:2-3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na mambo yale uliyoyasikia kwangu mbele ya mashahidi wengi, hayo uwakabidhi watu waaminifu watakaofaa kuwafundisha wengine vile vile. Ushiriki taabu pamoja nami, kama askari mwema wa Kristo Yesu.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 2