2 Wathesalonike 1:11
2 Wathesalonike 1:11 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kwa hiyo twawaombea ninyi sikuzote, ili Mungu wetu awahesabu kuwa mmekustahili kuitwa kwenu, akatimiza kila haja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 12 Wathesalonike 1:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Ndiyo maana tunawaombeeni daima. Tunamwomba Mungu wetu awawezesheni kustahili maisha aliyowaitia muyaishi. Tunamwomba, kwa uwezo wake, atimize nia yenu ya kutenda mema na kukamilisha kazi yenu ya imani.
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 12 Wathesalonike 1:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa hiyo tunawaombea ninyi sikuzote, ili Mungu wetu awahesabu kuwa mmekustahili kuitwa kwenu, akatimiza kila haja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 1