2 Wafalme 12:15 - Compare All Versions
2 Wafalme 12:15 BHN (Biblia Habari Njema)
Wafanyakazi waliosimamia kazi hii walikuwa waaminifu kabisa, kwa hiyo hapakuwa na haja ya kuwataka watoe hesabu ya matumizi ya fedha hizo.
Shirikisha
2 Wafalme 12 BHN2 Wafalme 12:15 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Walakini hawakufanya hesabu na hao watu, waliokabidhiwa fedha hiyo ili wawape watenda kazi; kwa kuwa walitenda kwa uaminifu.
Shirikisha
2 Wafalme 12 SUV2 Wafalme 12:15 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Walakini hawakufanya hesabu na hao watu, waliokabidhiwa fedha hiyo ili wawape watenda kazi; kwa kuwa walitenda kwa uaminifu.
Shirikisha
2 Wafalme 12 SRUV2 Wafalme 12:15 NEN (Neno)
Wao hawakudai hesabu ya fedha kutoka kwa wale waliowapa ili kuwalipa wafanyakazi, kwa sababu walifanya kwa uaminifu wote.
Shirikisha
2 Wafalme 12 NEN