2 Wakorintho 1:2-3
2 Wakorintho 1:2-3 Biblia Habari Njema (BHN)
Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo. Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba mwenye huruma na Mungu mwenye kuleta faraja yote.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 12 Wakorintho 1:2-3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Neema na iwe kwenu na amani, zitokazo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo. Na ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa rehema, Mungu wa faraja yote
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 12 Wakorintho 1:2-3 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Neema na iwe kwenu na amani, zitokazo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo. Na ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa rehema, Mungu wa faraja yote
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 1