2 Wakorintho 1:17
2 Wakorintho 1:17 Biblia Habari Njema (BHN)
Je, mnadhani nilipopanga hivyo nimekuwa kama mtu asiye na msimamo? Je, mnadhani kwamba ninafanya uamuzi wangu kwa fikira za kibinadamu na kwamba nasema “Ndiyo” na “Siyo” papo hapo?
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 12 Wakorintho 1:17 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi, nilipokusudia hayo, je! Nilitumia kigeugeu? Au hayo niyakusudiayo, nayakusudia kwa jinsi ya mwili kwamba iwe hivi kwangu, kusema Ndiyo, ndiyo, na Siyo, siyo?
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 1