2 Mambo ya Nyakati 14:13
2 Mambo ya Nyakati 14:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Asa pamoja na wanajeshi wake wakawafuatilia mpaka Gerari, wakawaua Waethiopia wengi sana, asibaki hata mmoja, kwani walikuwa wamekwisha shindwa na Mwenyezi-Mungu pamoja na jeshi lake. Jeshi la Yuda lilichukua nyara nyingi sana.
Shirikisha
Soma 2 Mambo ya Nyakati 142 Mambo ya Nyakati 14:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Asa na watu waliokuwa pamoja naye wakawafuata mpaka Gerari; wakawaua Wakushi wengi sana asipone hata mmoja; kwa sababu waliangamizwa mbele za BWANA, na mbele ya jeshi lake; na hao wakachukua mateka wengi sana.
Shirikisha
Soma 2 Mambo ya Nyakati 142 Mambo ya Nyakati 14:13 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Asa na watu waliokuwa pamoja naye wakawafuata mpaka Gerari; nao wengi wakaanguka wa Wakushi hata wasiweze kupona; kwa sababu waliangamizwa mbele za BWANA, na mbele ya jeshi lake; na hao wakachukua mateka mengi sana.
Shirikisha
Soma 2 Mambo ya Nyakati 14