1 Timotheo 4:16 - Compare All Versions
1 Timotheo 4:16 BHN (Biblia Habari Njema)
Angalia sana mambo yako mwenyewe na mafundisho yako. Endelea kufanya hayo, maana ukifanya hivyo, utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.
Shirikisha
1 Timotheo 4 BHN1 Timotheo 4:16 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Jitunze nafsi yako, na mafundisho yako. Dumu katika mambo hayo; maana kwa kufanya hivyo utajiokoa nafsi yako, na wale wakusikiao pia.
Shirikisha
1 Timotheo 4 SRUV1 Timotheo 4:16 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jitunze nafsi yako, na mafundisho yako. Dumu katika mambo hayo; maana kwa kufanya hivyo utajiokoa nafsi yako na wale wakusikiao pia.
Shirikisha
1 Timotheo 4 SUV1 Timotheo 4:16 NEN (Neno)
Jilinde sana nafsi yako na mafundisho yako. Dumu katika hayo, kwa maana kwa kufanya hivyo, utajiokoa wewe mwenyewe pamoja na wale wanaokusikia.
Shirikisha
1 Timotheo 4 NEN