Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 4:16 - Compare All Versions

1 Timotheo 4:16 BHN (Biblia Habari Njema)

Angalia sana mambo yako mwenyewe na mafundisho yako. Endelea kufanya hayo, maana ukifanya hivyo, utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.

1 Timotheo 4:16 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Jitunze nafsi yako, na mafundisho yako. Dumu katika mambo hayo; maana kwa kufanya hivyo utajiokoa nafsi yako, na wale wakusikiao pia.

1 Timotheo 4:16 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Jitunze nafsi yako, na mafundisho yako. Dumu katika mambo hayo; maana kwa kufanya hivyo utajiokoa nafsi yako na wale wakusikiao pia.

1 Timotheo 4:16 NEN (Neno)

Jilinde sana nafsi yako na mafundisho yako. Dumu katika hayo, kwa maana kwa kufanya hivyo, utajiokoa wewe mwenyewe pamoja na wale wanaokusikia.