1 Timotheo 1:7 - Compare All Versions
1 Timotheo 1:7 BHN (Biblia Habari Njema)
Wanapenda kuwa waalimu wa sheria, lakini hawaelewi maneno yao wenyewe au mambo wanayosisitiza.
Shirikisha
1 Timotheo 1 BHN1 Timotheo 1:7 SRUV (Swahili Revised Union Version)
wakitaka kuwa waalimu wa sheria, ingawa hawayafahamu wasemayo wala mambo yale wayanenayo kwa uthabiti.
Shirikisha
1 Timotheo 1 SRUV1 Timotheo 1:7 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wapenda kuwa waalimu wa sheria, ingawa hawayafahamu wasemayo wala mambo yale wayanenayo kwa uthabiti.
Shirikisha
1 Timotheo 1 SUV1 Timotheo 1:7 NEN (Neno)
wanataka kuwa walimu wa sheria, lakini hawajui mambo yale wanayosema wala hayo wanayoyatumainia kwa uthabiti.
Shirikisha
1 Timotheo 1 NEN