1 Wathesalonike 5:9-10
1 Wathesalonike 5:9-10 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo ambaye alikufa kwa ajili yetu, ili tuishi pamoja naye, iwe tu hai au tumekufa.
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 51 Wathesalonike 5:9-10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa kuwa Mungu hakutuweka ili tupate hasira yake, bali ili tupate wokovu, kwa Bwana wetu Yesu Kristo; ambaye alikufa kwa ajili yetu, ili tuishi pamoja naye, iwe tunakesha au tunalala.
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 5