1 Wathesalonike 2:6
1 Wathesalonike 2:6 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Hatukutafuta utukufu kwa wanadamu, wala kwenu, wala kwa wengine tulipokuwa tukiweza kuwalemea kama mitume wa Kristo
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 21 Wathesalonike 2:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Hatukutafuta sifa kutoka kwa watu, wala kutoka kwenu, wala kutoka kwa mtu yeyote
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 21 Wathesalonike 2:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Hatukutafuta utukufu kwa wanadamu, wala kwenu, wala kwa wengine, ingawa tungeweza kuwalemea kama Mitume wa Kristo
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 2