1 Wathesalonike 2:14
1 Wathesalonike 2:14 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Maana ninyi, ndugu, mlikuwa wafuasi wa makanisa ya Mungu yaliyo katika Uyahudi, katika Kristo Yesu; kwa kuwa mlipata mateso yale yale kwa watu wa taifa lenu wenyewe, waliyoyapata na hao kwa Wayahudi
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 21 Wathesalonike 2:14 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kwa maana ninyi ndugu zetu, mlifanyika wafuasi wa makanisa ya Mungu yaliyoko ndani ya Kristo Yesu katika Uyahudi. Mlipata mateso yale yale kutoka kwa watu wenu wenyewe kama vile makanisa hayo yalivyoteswa na Wayahudi
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 2