1 Wathesalonike 1:3
1 Wathesalonike 1:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, mbele ya Mungu Baba yetu, twakumbuka jinsi mnavyoonesha imani yenu kwa matendo, jinsi upendo wenu unavyowawezesha kufanya kazi kwa bidii, na jinsi tumaini lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo lilivyo thabiti.
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 11 Wathesalonike 1:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wala hatuachi kuikumbuka kazi yenu ya imani, na taabu yenu ya upendo, na subira yenu ya tumaini lililo katika Bwana wetu Yesu Kristo, mbele za Mungu Baba yetu.
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 1