1 Samueli 24:7
1 Samueli 24:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Kwa maneno hayo, Daudi akawashawishi watu wake wasimdhuru Shauli; aliwakataza wasimshambulie. Kisha Shauli akasimama, akatoka pangoni akaendelea na safari yake.
Shirikisha
Soma 1 Samueli 241 Samueli 24:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi Daudi akawazuia watu wake kwa maneno hayo, asiwaruhusu kumshambulia Sauli. Kisha Sauli akatoka pangoni, akaenda zake.
Shirikisha
Soma 1 Samueli 24