1 Samueli 13:7
1 Samueli 13:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Wengine walivuka mto Yordani mpaka katika nchi ya Gadi na nchi ya Gileadi. Lakini Shauli alikuwa bado huko Gilgali na watu wote walimfuata wakitetemeka.
Shirikisha
Soma 1 Samueli 131 Samueli 13:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Wengine walivuka mto Yordani mpaka katika nchi ya Gadi na nchi ya Gileadi. Lakini Shauli alikuwa bado huko Gilgali na watu wote walimfuata wakitetemeka.
Shirikisha
Soma 1 Samueli 131 Samueli 13:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Hata baadhi ya Waebrania walivuka Yordani, wakaingia nchi ya Gadi na Gileadi; lakini Sauli alikuwa angali huko Gilgali, nao watu wote wakamfuata wakitetemeka.
Shirikisha
Soma 1 Samueli 13