1 Samueli 13:12 - Compare All Versions
1 Samueli 13:12 BHN (Biblia Habari Njema)
nikawaza kwamba Wafilisti watakuja kunishambulia huko Gilgali. Tena nilikuwa bado sijaomba fadhili za Mwenyezi-Mungu. Ndipo nilipolazimika kutolea mimi mwenyewe sadaka ya kuteketezwa.”
Shirikisha
1 Samueli 13 BHN1 Samueli 13:12 SRUV (Swahili Revised Union Version)
basi nikasema, Wafilisti watanishukia sasa mpaka Gilgali, kabla sijaomba fadhili za BWANA; kwa hiyo nilijishurutisha, nikatoa sadaka ya kuteketezwa.
Shirikisha
1 Samueli 13 SRUV1 Samueli 13:12 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
basi nikasema, Wafilisti watanishukia sasa mpaka Gilgali, kabla sijaomba fadhili za BWANA; kwa hiyo nalijishurutisha, nikatoa sadaka ya kuteketezwa.
Shirikisha
1 Samueli 13 SUV1 Samueli 13:12 NEN (Neno)
nikawaza, ‘Sasa Wafilisti watateremka dhidi yangu huko Gilgali nami sijaomba kibali kwa BWANA.’ Hivyo nikalazimika kutoa sadaka ya kuteketezwa.”
Shirikisha
1 Samueli 13 NEN