1 Samueli 12:21 - Compare All Versions
1 Samueli 12:21 BHN (Biblia Habari Njema)
Msiifuate miungu ya uongo isiyo na faida wala haiwezi kuwaokoa, maana ni ya uongo.
Shirikisha
1 Samueli 12 BHN1 Samueli 12:21 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Wala msigeuke upande, maana, kufuata vitu vya ubatili
Shirikisha
1 Samueli 12 SRUV1 Samueli 12:21 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala msigeuke upande, maana, kufuata vitu vya ubatili
Shirikisha
1 Samueli 12 SUV1 Samueli 12:21 NEN (Neno)
Msigeukie sanamu batili. Haziwezi kuwatendea jema, wala haziwezi kuwaokoa kwa sababu hazina maana.
Shirikisha
1 Samueli 12 NEN