Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Yohane 5:16 - Compare All Versions

1 Yohane 5:16 BHN (Biblia Habari Njema)

Mtu akimwona ndugu yake ametenda dhambi isiyompeleka kwenye kifo, anapaswa kumwombea kwa Mungu, naye Mungu atampatia uhai. Nasema jambo hili kuhusu wale waliotenda dhambi ambazo si za kifo. Lakini ipo dhambi yenye kumpeleka mtu kwenye kifo, nami sisemi kwamba mnapaswa kumwomba Mungu kwa ajili ya hiyo.

Shirikisha
1 Yohane 5 BHN

1 Yohane 5:16 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Mtu akimwona ndugu yake anatenda dhambi isiyo ya mauti, ataomba, na Mungu atampa uzima kwa ajili ya hao watendao dhambi isiyo ya mauti. Iko dhambi iliyo ya mauti. Sisemi ya kwamba ataomba kwa ajili ya hiyo.

Shirikisha
1 Yohane 5 SRUV

1 Yohane 5:16 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Mtu akimwona ndugu yake anatenda dhambi isiyo ya mauti, ataomba, na Mungu atampa uzima kwa ajili ya hao watendao dhambi isiyo ya mauti. Iko dhambi iliyo ya mauti. Sisemi ya kwamba ataomba kwa ajili ya hiyo.

Shirikisha
1 Yohane 5 SUV

1 Yohane 5:16 NEN (Neno)

Mtu akimwona ndugu yake akitenda dhambi isiyo ya mauti, inampasa aombe, naye Mungu atampa uzima mtu huyo. Ninamaanisha wale ambao dhambi yao si ya mauti. Iko dhambi ya mauti, sisemi kwamba utaomba kwa ajili ya hiyo.

Shirikisha
1 Yohane 5 NEN