1 Yohane 4:6
1 Yohane 4:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini sisi ni wake Mungu. Mtu anayemjua Mungu hutusikiliza, mtu asiye wa Mungu hatusikilizi. Basi, kwa njia hiyo tunaweza kutambua tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo.
Shirikisha
Soma 1 Yohane 41 Yohane 4:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Sisi tunatokana na Mungu. Yeye amjuaye Mungu atusikia; yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili tunamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu.
Shirikisha
Soma 1 Yohane 4