1 Yohane 3:4
1 Yohane 3:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Kila mtu atendaye dhambi anavunja sheria ya Mungu, maana dhambi ni uvunjaji wa sheria.
Shirikisha
Soma 1 Yohane 31 Yohane 3:4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi.
Shirikisha
Soma 1 Yohane 3