Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Yohane 2:4 - Compare All Versions

1 Yohane 2:4 BHN (Biblia Habari Njema)

Mtu akisema kwamba anamjua, lakini hazitii amri zake, basi mtu huyo ni mwongo, na ukweli haumo ndani yake.

Shirikisha
1 Yohane 2 BHN

1 Yohane 2:4 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Yeye asemaye, Nimemjua, wala hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake.

Shirikisha
1 Yohane 2 SRUV

1 Yohane 2:4 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Yeye asemaye, Nimemjua, wala hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake.

Shirikisha
1 Yohane 2 SUV

1 Yohane 2:4 NEN (Neno)

Mtu yeyote asemaye kuwa, “Ninamjua,” lakini hazishiki amri zake, ni mwongo, wala ndani ya mtu huyo hamna kweli.

Shirikisha
1 Yohane 2 NEN