1 Yohane 1:9
1 Yohane 1:9 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote.
Shirikisha
Soma 1 Yohane 11 Yohane 1:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini tukiziungama dhambi zetu, basi, Mungu ni mwaminifu na mwadilifu, naye atatusamehe dhambi zetu na kututakasa uovu wote.
Shirikisha
Soma 1 Yohane 11 Yohane 1:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kututakasa na udhalimu wote.
Shirikisha
Soma 1 Yohane 11 Yohane 1:9 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote.
Shirikisha
Soma 1 Yohane 1