1 Wakorintho 7:25
1 Wakorintho 7:25 Biblia Habari Njema (BHN)
Sasa, kuhusu mabikira na waseja, sina amri kutoka kwa Bwana; lakini natoa maoni yangu mimi ambaye kwa huruma yake Bwana nastahili kuaminiwa.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 71 Wakorintho 7:25 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kuhusu wanawali sina amri ya Bwana, lakini natoa shauri langu, mimi niliyejaliwa kwa rehema za Bwana kuwa mwaminifu.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 7