1 Wakorintho 3:19
1 Wakorintho 3:19 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao.”
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 31 Wakorintho 3:19 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana hekima ya dunia hii ni upuzi mbele za Mungu. Kwa maana imeandikwa, Yeye ndiye awanasaye wenye hekima katika hila yao.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 3