1 Wakorintho 2:4
1 Wakorintho 2:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Hotuba zangu na mahubiri yangu sikuyatoa kwa maneno ya kuvutia na ya hekima, bali kwa uthibitisho mwingi na nguvu ya Roho.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 21 Wakorintho 2:4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na neno langu na kuhubiri kwangu hakukuwa kwa maneno ya hekima yenye kushawishi akili za watu, bali kwa dalili za Roho na za nguvu
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 2