1 Wakorintho 1:30
1 Wakorintho 1:30 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha nyinyi na Kristo Yesu. Mungu amemfanya Kristo awe hekima yetu; kwa njia yake sisi tunapatanishwa na Mungu, tunakuwa watu wake Mungu na kukombolewa.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 11 Wakorintho 1:30 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 1