1 Wakorintho 1:28
1 Wakorintho 1:28 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 11 Wakorintho 1:28 Swahili Revised Union Version (SRUV)
tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 1