1 Wakorintho 1:21
1 Wakorintho 1:21 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, kadiri ya hekima ya Mungu, watu hawawezi kumjua Mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. Badala yake, Mungu amependa kuwaokoa wale wanaoamini kwa njia ya kile ambacho wenye hekima wanakiona kuwa ni upumbavu, yaani ujumbe tunaohubiri.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 11 Wakorintho 1:21 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana katika hekima ya Mungu, dunia isipopata kumjua Mungu kwa hekima yake, Mungu alipenda kuwaokoa waaminio kwa upuzi wa lile neno linalohubiriwa.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 1