Nítorí ìdí èyí, ọkùnrin yóò fi baba àti ìyá rẹ̀ sílẹ̀, yóò sì dàpọ̀ mọ́ aya rẹ̀, wọn yóò sì di ara kan.
Soma Gẹnẹsisi 2
Sikiliza Gẹnẹsisi 2
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Gẹnẹsisi 2:24
Siku 5
Ndoa huja na furaha nyingi na changamoto kubwa. Sababu mojawapo ya changamoto hizo ni kwa sababu tumesahau kusudi la kibiblia la ndoa. Tumemuondoa Mungu na kufafanua ndoa kwa msingi ya furaha. Lakini ndoa ipo ili kumtukuza Mungu kwa kupanua wigo Wake ulimwenguni kote. Katika mpango huu wa siku tano wa kusoma, Dkt. Tony Evans anakupeleka kwenye safari ya ndoa ya ufalme.
Siku 31
Soma Biblia Kila Siku 10/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 2 Wakorintho, Mwanzo na 1 Petro. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!