Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Walawi 19:32-33

Walawi 19:32-33 BHN

“Uwapo mbele ya mzee ni lazima usimame ili kumpa heshima yake; nawe umche Mungu wako. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu. “Kama kuna mgeni katika nchi yako usimtendee vibaya.

Soma Walawi 19