Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waebrania 12:28-29

Waebrania 12:28-29 BHN

Sisi basi, na tushukuru, kwani tunapokea ufalme usiotikisika. Tuwe na shukrani na kumwabudu Mungu kwa namna itakayompendeza, kwa ibada na hofu; maana Mungu wetu kweli ni moto mkali unaoteketeza.