Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Habakuki 2:3-4

Habakuki 2:3-4 BHN

Maono haya yanangoja wakati wa kufaa; ni maono ya ukweli juu ya mwisho. Kama yaonekana kuchelewa, uyasubiri; hakika yatafika, wala hayatachelewa. Andika: ‘Waangalie wenye kiburi, hao wataangamia; lakini waadilifu wataishi kwa kumwamini Mungu.’”

Soma Habakuki 2