Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 10:1

1 Wafalme 10:1 BHN

Malkia wa Sheba aliposikia sifa za Solomoni, kwa sababu ya jina la Mwenyezi-Mungu, alimwendea Solomoni ili kumjaribu kwa maswali magumu.