Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 23:25

Mathayo 23:25 NENO

“Ole wenu, walimu wa Torati na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Kwa maana mnasafisha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa unyang’anyi na kutokuwa na kiasi.