የሱሳና፥ “ዎኖናትክ ሂካ አላምኮ ላኮዮ፥ ሊግረዋ አይሁድ ጎጎአቦንኮ ኦሀንዳረን ጀሬን ሻፋታኔዋ፥ ግዳ አደ ዎኖናትክ ሂካ አላምኮ ላኮዮ” አመ።
Soma ያንሳ 18
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: ያንሳ 18:36
Sike 16
Kusulubishwa na kufufuka kwa Yesu kumeelezwa katika injili zote nne. Likizo hii ya Pasaka, soma kuhusu jinsi Yesu alivyovumilia usaliti, mateso na kudhalilishwa msalabani kabla ya kubadilisha dunia kupitia tumaini lililotolewa kwa ufufuo wake. Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.
Siku 31
Soma Biblia Kila Siku /Oktoba 2023 ni mpango mzuri wa kusoma biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Oktoba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Yohana na Zaburi. Karibu kujiunga na mpango huu
Soma Biblia Kila Siku 8 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku hasa katika kitabu cha Matendo ya Mitume, Kumbukumbu la Torati, na Yohana pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!