Алла Мусаға былай тине: – Бар Булыусы Мин. Исраил халҡына: «Мине һеҙгә Мин – Бар Булыусы ебәрҙе», – тип әйт.
Soma Сығыу 3
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Сығыу 3:14
Siku 3
Siyo tu kwamba jina la Mungu ni tangazo, lakini ni mojawapo ya majina yenye nguvu zaidi ya Yesu. Katika mpango huu wa kusoma, Dk. Tony Evans anafundisha kuhusu jina hili lenye nguvu na maana yake kwetu kama waumini.
Siku 4
Mungu ana majina kadha wa kadha ambayo yanamwelezea katika Maandiko. Kila jina hutuambia sifa na moyo wake kwa njia ya kina na kibinafsi. Katika mpango huu wa kusoma na Tonay Evans, fichua ukuu wa majina ya Mungu.
5 Days
The Lord is alive and active today, and He speaks to each of His children directly. But sometimes, it can be difficult to see and hear Him. By exploring the story of one man’s journey toward understanding the voice of God in the slums of Nairobi, you will learn what it looks like to hear and follow Him.
Siku 5
Bwana yu hai na ni mkamilifu leo, na uongea na kila mtoto wake moja kwa moja. Lakini wakati mwingine, inaweza kuwa ngumu kumuona na kumsikia Mungu. Kupitia kuchunguza hadithi ya safari ya mtu mmoja ya kufahamu sauti ya Mungu katika mabanda ya Nairobi, utasoma vile ilivyo kumsikia na kumfuata Mungu.
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video