Waroma 5:1-2
Waroma 5:1-2 SRB37
*Kwa hivyo, tulivyopewa wongofu kwa kumtegemea Mungu, tumekwisha kupata utengemano kwake Mungu; naye aliyetupatia ni Bwana wetu Yesu Kristo. Kwa kumtegemea yeye tumefunguliwa njia ya kulifikia gawio hili, tunalolikalia, tukajivunia kingojeo cha utukufu, Mungu atakaotupa.