Mateo 19:9
Mateo 19:9 SRB37
Nami nawaambiani: Mtu akimwacha mkewe, isipokuwa kwa ajili ya ugoni, akaoa mwingine, anazini; naye anayeoa mke aliyeachwa anazini.
Nami nawaambiani: Mtu akimwacha mkewe, isipokuwa kwa ajili ya ugoni, akaoa mwingine, anazini; naye anayeoa mke aliyeachwa anazini.