Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mateo 15:18-19

Mateo 15:18-19 SRB37

Lakini yanayotoka kinywani mwa mtu yametoka moyoni mwake, nayo ndiyo yanayomtia mtu uchafu. Kwani moyoni hutoka mawazo mabaya: uuaji, uzinzi, ugoni, wizi, usingiziaji, matusi.

Soma Mateo 15