Matendo ya Mitume 7:57-58
Matendo ya Mitume 7:57-58 SRB37
Ndipo, walipopiga kelele na kupaza sauti na kujiziba masikio, wakamrukia wote pamoja, wakamkumba, atoke mjini, wakampiga mawe. Kulikuwako mashahidi, nao wakazivua nguo zao, wakaziweka miguuni pa kijana, jina lake Sauli




