Matendo ya Mitume 3:7-8
Matendo ya Mitume 3:7-8 SRB37
Kisha akamshika mkono wa kuume, akamwinua. Papo hapo miguu yake na fundo zake zikapata nguvu, akaruka, akasimama, akaenda, akapaingia Patakatifu pamoja nao akizunguka na kurukaruka na kumsifu Mungu.


