Matendo ya Mitume 2:17
Matendo ya Mitume 2:17 SRB37
Mungu anasema: Siku za mwisho ndipo, itakapokuwa, niwamiminie Roho yangu wote wenye miili ya kimtu. Nao wana wenu wa kiume na wa kike watasema na kufumbua, nao vijana wenu wataona maono; nao wazee wenu wataoteshwa ndoto.


