Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo ya Mitume 1:4-5

Matendo ya Mitume 1:4-5 SRB37

Alipokwisha kuwakusanya akawaagiza, wasitoke Yerusalemu, ila wakingoje kiagio cha Baba, mlichokisikia kwangu; kwani Yohana alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa katika Roho takatifu, tena siku hizo zinazosalia ni chache tu.