Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka MT. 5:12-13

Luka MT. 5:12-13 SWZZB1921

Ikawa alipokuwa katika mji mmoja wa miji ile, tazama, palikuwa na mtu amejawa ukoma; nae alipomwona Yesu, akaanguka kifudifudi, akamwomba, akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa. Nae akauyosha mkono wake, akamgusa, akinena, Nataka; takasika. Marra ukoma wake ukamwounoka.

Soma Luka MT. 5