Matendo 19:11-12
Matendo 19:11-12 SWZZB1921
Mungu akafanya kwa mikono ya Paolo miujiza ya kupita kawaida; hatta wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizogusa mwili wake, magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka.
Mungu akafanya kwa mikono ya Paolo miujiza ya kupita kawaida; hatta wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizogusa mwili wake, magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka.