Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 12:17-19

1 Wakorintho 12:17-19 SWZZB1921

Kama mwili wote ukiwa jicho, ku wapi kusikia? kama wote ni sikio ku wapi kuona? Bali Mungu amevitia viungo killa kimoja katika mwili kama alivyotaka. Lakini kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?