Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zekaria 3:4

Zekaria 3:4 SCLDC10

Malaika akawaambia watumishi wake, “Mvueni kuhani mkuu Yoshua mavazi yake machafu.” Kisha akamwambia kuhani mkuu Yoshua, “Tazama, nimeiondoa dhambi yako, nami nitakupa mavazi ya thamani.”

Soma Zekaria 3